sw.news

Francis Ampa Charlie Cheti Cha Kusafiri Cha Vatikani

Papa Francis alimpa Pasipoti ya Vatikani raia wa Uingereza mwenye umri wa miezi 11 Charlie Gard, vyombo vya habari vya Italia vimetangaza. Charlie yuko hatarini ya kuuawa kifo cha huruma nchini Uingereza kwani anaugua kutokana na ugonjwa nadra. Cheti hicho kitamwezesha kusafiri kwenda kwenye hospitali ya watoto ya Vatikani.
#newsZqlznntafu

73
sw.cartoon

Kulingana Na Ripoti, Papa Francis Awatupia Hasira Wafuasi Wake.
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsQbutcrtblx

121
ig.news

Ozo: Pope Francis juru igbu ikpere na ihu ihe di nso

Pope Francis mere nmenme Corpus Christi na basilica nke Saint John Lateran. Nke bu nke mbu yaka agbanwere nmenme sita n'ubochi Thursday gaa na Sunday. Na ozi ya, Pope Francis kporo oriri nso dika nri di nwayo kwesiri ina akpoghachi nmuo ulo.
O juru irube isi mgbe o na-agosi oriri nso a dika emere ya ka oha hu ya. Osoghikwa mee ngaghari ma omechiri ya na Santa Maria Maggiore, ozo kwa osekwughi n'iri chineke.
#newsTxatxpswnn

106
Guntherus de Thuringia

Qu.

05:26
22
RAFAEL MEDINA MEDINA

Muujiza wa Ekaristi uliotokea wakati wa Misa iliyoadhimishwa na Askofu Claudio Gatti, huko Roma, Italia

Kurasa 6
72
sw.news

Kardinali Meisner Aliamini Kuwa Ameokolewa

Aliyekuwa Askofu Mkuu wa Cologne, Kardinali Joachim Meisner, mmoja wa Makardinali wa Dubia ambaye alifariki Jumatano alfajiri alisema katika mahojiano yake ya mwisho na, yaliyorekodiwa mnamo mwezi wa Aprili na kuchapishwa siku ya Jumamosi katika die-tagespost.de kuwa baada ya kifo chake "ataanguka mikononi mwa Mungu".
Meisner aliamini kuwa Mungu atafurahia kumwona "akija nyumbai" na atasema, "Ni furaha iliyoje, kuwa sasa umko hapa." Alipoulizwa iwapo yuko tayari kustahimili kifodini, Meisner alijibu, "Nimekuwa na kifodini hapa cha kudumu" na kuwa alihisi "yuko nyumbani" Vituoni vya Msalaba.
Meisner alijiona "kuwa amejitayarisha vyema " kwa kifo kwani aliamini kuwa amefanya kilicho "cha busara". Kabla ya kifo chake alimpa katibu wake vitu vitakavyohitajika atakapozikwa "ili visitafutwe"
Mnamo Februari mwaka wa 2013 Meisner alikuwa mwanachama wa kikundi cha kwanza cha maaskofu wa Ujerumani ambao waliitambulisha tembe ya asubuhi ya uavyaji katika hospitali za Kikatoliki za dayosisi yake.…Zaidi

109
sw.cartoon

Kadinali Zen Aliambia Kituo Cha EWTN Kwamba Angechora Kibonzo Kikimwashiria Francis Kapiga Mgoti Huku Akiupa Utawala Wa China Vifunguo Vya Peter.
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsWfkehjmrpd

102

Papa anakufa, Maisha Marefu kwa Papa!

Papa anakufa, Maisha Marefu kwa Papa!
Katika hali ya kutokuwa na uhakika na huzuni, mwangaza wa mwisho wa maisha ya papa mmoja unaashiria uwasili wa haraka wa mwingine – kama alivyokumbuka Mtakatifu Yohani Paulo II katika nyakati zake za mwisho. Papa Bergoglio, ambaye amewekwa chini ya utawala unaoongozwa na kardinali wenye utata – baadhi yao kujitajia “antipapa” (Kardinali Martini) na wengine ambao wamekubali kuwa walikuwa wa kundi linalojulikana kama “mafya takatifu”, yaani Kikundi cha Sankt Gallen (Kardinali Danneels) – amekumbwa na hali mbaya kiasi kwamba uvumi kuhusu uwezekano wa kuaga kwake duniani umeanza kusambaa.
Wakati huo huo, Idara ya Mawasiliano ya Vatikani inaendelea kutoa taarifa zisizo kamili na zilizo na upendeleo. Je, lengo ni lipi? Labda ni kuwafanya waumini wabaki katika hali ya kutokuelewa, kulinda maslahi ya ndani, au tu kuhifadhi uhuru wa kuchukua hatua mbele ya uwezekano wa kuondoka kwa Bergoglio, labda kupitia kukatishwa kwa madarakani au kwa sababu ya …Zaidi

31
carlos padila

NUEVA MISA CVII - MALACHI

145
Denis Efimov

Así es.

HP Y GC

Chapelet au Karmel

25:51
21
sw.news

Vatikani Yamtangaza Shoga Aliyekuwa Padre

Akaunti rasmi ya tweeter ya Mchango wa Petero almaarufu Peter Pence, mchango ambao huchukuliwa kila Juni, imetumia picha ynayoonyesha picha ya aliyekuwa Padre mkuu wa Vatikani Krzystof Charamsa pamoja na mchumba wake shoga. Charamsa alijitangaza mnamo Oktoba 2015 kama shoga na kulishutumu Kanisa kwa ukali mwingi. Picha hiyo ya mashoga wawili ilikuwa na maelezo, "A Church on the way, with joy, listening to anxieties." (Kanisa njiani, kwa furaha,likiskiliza mahangaiko.) Picha hiyo ilitolewa baada ya masaa mawili.
#newsErhgtfnymh

80
sw.cartoon

Nakala Ya Francis, Amoris Laetitia Ilionyesha "Mabadiliko Ya Dhana" Kanisani, Kulingana na Kadinali Parolin.
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsOupwdjppcg

100
sw.news

Papa Francis Amfuta Kardinali Müller

Kardinali Gerhard Ludwig Müller (69), kinara wa Shirika la Mafundisho ya Imani tangu Julai tarehe mbili mwaka wa 2012 amefutwa kazi na Papa Francis mwishoni mwa mamlaka yake, kulingana na ripoti za corrispondenzaromana.it.
Picha: Gerhard Ludwig Müller, © Dr. Meierhofer, CC BY-SA, #newsPdkqjocazv

62
sw.cartoon

Mhazili wa Kadinali Coccopalmerio Alipatikana Wakati wa Sherehe za Ushoga na Mihadarati za Vatikani mwaka wa 2017
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsHmqkbdtokv

173
noi_cattolici

Dr. Barbara Balanzoni

20:00
66
sw.news

Dayosisi Ua Ujerumani Yasifu Msafara Wa Shoga.

Dayosisi ya Ujerumani Rottenburg-Stuttgart ilitangaza kwenye mitandao ya kijamii msafara wa shoga uliokuwa Stuttgart mnamo tarehe 29 mwezi wa Julai huku ikisifu kikundi cha Vijana Wakatoliki ambao waliomba wakati wa sherehe hiyo "uvumilivu ili kutimiza jamii yenye utofauti".
Dayosisi hiyo pia ilichapisha picha iliyoonyeshana watu katika Kanisa la Kikatoliki mjini Stuttgart kasimama kando ya bendera yenye rangi za upinde wa mvua. Sauti katika mitandao ya kijamii zilibainisha kuwa Kanisa la Ujerumani limekosa maana kwa kutaka kukubalika kwenye mienendo ya kisasa.
Kadinali mtetezi wa ushoga Walter Kasper alikuwa askofu wa Rottenburg-Stuttgart.
#newsZdaebtokoz

104
sw.cartoon

Theluji kule Roma Mwisho wa Februari.
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsIcgbsutrfr

139